Simba SC imefuzu kuingia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kuichapa Nkana FC magoli 3-1 katika mchezo wa maruadiano uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Matokeo hayo yameifanya Simba ifuzu hatua hiyo kwa jumla ya mabao 4-3 kufuatia kufungwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Zambia wiki moja iliyopita.
Katika mchezo wa leo Nkana ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Walter Bwalya akimalizia kwa mpira ambao mabeki wa Simba waliuzembea kwa kufanya mchezo wa kuotea.
Simba walitulia na kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Jonas Mkude dakika ya 29, kabla ya Meddie Kagere kupachika bao la pili kwa kichwa dakika ya 45 na baadaye dakika ya 88, Clatous Chama kuipa Simba bao la ushindi.
Baada ya kuaga mashindano haya, sasa Nkana FC wanakwenda kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo watalazimika kupitia hatua ya mchujo ili kufuzu hatua ya makundi ya michuano hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.
@ayoubfadhili46955 years agoThis battle was like war of seven manusia, i love simba from india. 15
@
@adammasanja19843 months agoUnforgettable match the best emotion, feeling 4 simba fans, love m best african giants ssc mnyama.
@
@dicksonaroka69615 years agoNi wangapi bado wanakuja hapa kujikumbushia jinsi nkana fc walivyo kufa kwa mkapa december 23like kama tupo. 26
@
@mohamedidd31453 years agoWhat a historical and unforgettable match for simba fans, simba nguvu moja. 24
@
@sm5tv4 years agoBado naiangalia mpaka 2020 kama na ww upo gonga like hapa. 56
@
@emmanmwakuka49385 years agoHii clip inanimalizia mb zangu maana si chokagi kuiangalia gonga like kama tupo pamoja wanasimba or Die 135
@
@hatibukimbondile13924 years agoSimba is the football' s icon. In tz. 16
@
@wisekingtony63706 years agoSema..simbaaaaaa alafu like. stage ni motooo 53
@
@user-up8mj7mw2t6 years agochama kwani ndo chama la SIMBA mm sielew jmn like kwa SIMBA # 221
@
@agnessjohn84046 years agonakukubali Sana unatangaza vizuri Sana mpaka nashindwa kuelewa wewe ni shabiki wa timu gani huna ubaguzi mungu akubariki Sana Love u 71
@
@juliuskened45714 years agoKama umeangalia highlights hii 2020 gonga like za kutosha. 168
@
@paulsengelemasengelema89504 years agoKama upo unaitazama hii mwaka 2020 gonga like twenzetu. 33
@
@halkhaji42886 years agoMarhaba buuu chama hii ndo simbaa usipite bila kulike. 117
@
@vicentmbise2453 years agoGonga like kama 2021 umeichekii, simba forever. 14
@
@tulivu63776 years agoKama unaipenda simba ngoga like twende sawa. 150
@
@asha_homedecorations6 years agoMnyama simbaa on mtangazaji ni nomaaa. 81
@
@agnessjohn84046 years agoVyura wanateseka asante mungu kwa ushindi huu mnono. 48
@
@halkhaji42886 years agoSimba rahaa msikereke kwa shughuli isiokua yenu kamanawe unaipenda simba like. 31
@
@maulakaroli83234 years agoKama unangalia mechi hii kwa hisia kali huku ukiifikiria game ya platnam kwa mkapa hapa january 6 gonga like twende na simba yetu. 17
@
@amedeuslyimo23156 years agoPia kwa nidhamu hii ya mchezo wa simba tutafika mbali sana kilaa la heri timu yangu simba sc inshallah. 24
@
@stewardmwanuke52686 years agoHongeleni wachezaji wangu wa simba kwakunipa raha japo tunamajonzi ya mwanachana mwenzetu alie fariki inauma mungu ailaze roho yake mahara pema peponiy ameen. 30
@
@mwenyasamhando82622 years agoMechi ya maisha yangu, mechi ya historia ya kuishabikia simba na mechi bora kwa upande wangu katika klabu ya simba. Simba nguvu moja. 14
@
@sekeyifabian95176 years agoWaambieni wasije kichwa. This is simba. 34
@
@raiphodytzkaundatz62446 years agoMtangaz mungu anakuona ety marahaba chama ety magool kama haya yanalusiwa kweri. 75
@
@popperkuch6696 years agoHakika kk haji manara upo vzr hongera zako hongera kwa timu yetu nzm. 8
@
@muddydamdeok50986 years agoThis is simba brother the great team of tanzania. 15
@
@abdallahhassani18935 years agoKama unaipenda simba gonga like zakutosha. 75
@
@kingayo9996 years agoSimba akiona jini anazidi kunyanyua manyoa na kuwa mkali zaid this is simba kaka. 51
@
@ibrahimjuma83496 years agoYaan we chama wewe c wa africa bwana unadanganya hujatokea uraya kwer! Yan wa kwanza kukoment jaman like zang bas! 40
@
@ferouzmasoud47413 years agoAsante sanaa chama langu la simba mw/mungu awajalie afya njema wachezaji wote. 3
@
@thomasnyarusanda26086 years agoWill done simba, bravo great simba. Nkana wamepata taabu sana. Nana hamuwezi kukaa jedi za simba mlizopatia ushindi kwenu mje kupata ushindi kwetu, mwiko. Simba heshima. 16
@
@prosperndonjekwa51436 years agoKazeni buti katika ligi. Mtakamiwa sana. Kila time inataka kuwafungeni ili isemme nimeifunga time kubwa. 46
@
@user-bi1pv8gp4v6 years agoBaraka mbenja we ni next level thnx simba for simba for this. 9
@
@fredrickmangera95206 years agoTripo c utawaua hao, kila goli umehusika. Congrats boe. 9
@
@djstone255tz6 years agoAsante simba kwa zawadi ya funga mwaka. 23
@
@ferouzmasoud48702 years agoSichoki kuludia kutazama game hii simba sc raha sana. 2
@
@amedeuslyimo23156 years agoKuna watu wanaumia sana .. This is simba blaaza. Usipoikubali mbele ya kadamnasi lazima uikubali kimoyomoyo.. hongereni sana chama kangu kwa kutinga hatua ya makundi .....Expand7
@
@barakajulius59385 years agoBaraka mpenja wewe nikabsa na mwili wako na jinsimno bro. 8
@
@officialamirionaire37313 years agoNaiangalia leo baada ya simba kuifunga fc platinum ya zimbabwe na kufuzu kutinga atua ya makundi. 7
@
@davidmchome9496 years agoGoli la chama litakufanya usahau shida zote za 2018. r. I. P christopher alex massawe. 143
@
@beghaezra2965 years agoHuwa siwezi kuisahau hii game daa simba ni hatari fire. 2
@
@magdalenapeter48516 months agoNakaaga nikimisi kuona maajabu ya mnyama narudia mechi kama hiz aisehii timu.
@
@wabumbuli25816 years agoKama umemuona mkude akishika nywele kama wachezaji wa nkana gonga like yak hapa. 86
@
@mamohamed59145 years agoWazungu wana sema this is simba brother i love this matche coz it' s nice game. 3
@
@yorrammabugas58566 years agoOoooh yeess, kuna watu wanateseka, cjajua hapo mpenja alikuw anawaongelea wat gan, jmn naomb mnisaidie. 25
@
@agnessjohn84046 years agoSiamini kama kweli wewe mtangazaji huna timu unayoishabikia hapa tz au na wewe ni mmoja wa wale wanaoteseka nakupenda sana mtangazaji kwasababu sijaj id="hidden9"ua timu yako ni ipi maana kila anae funga unasifia kweli huo ndo utangazaji big up kwako simpendi kitenge. ...Expand150
@
@samwelhojatuba13143 years agoKweli simba inanikumbusha mbali sana naomba waendelee kutufurahisha zamani kila siku nikiangaliaga hii mechi nasema simba no bora sana africa. 5
@
@dismashaule16316 years agoIvi macho yako yanaona kama mm simba raha sana. 9
@
@mohammediallykaboza58625 years agoMo, kocha benchi la ufundi na wadau wengine bila kujisahau kama tim mashabiki mungu asiyuingizie mgogororo acha wateseke zam yao moto haupoi respect simba. 1
@
@hemedbacco47192 years agoSimba nguvu moja. Still watching in 2022. 2
@
@sonjon74832 years agoTuliopoo hapa mwezi wa nane 2022 tujuanee kwa likee, wanalia polee e asantee sana mpenjaa.
@
@adilcosmaslast yearMechi ilioweka historia ndani ya club ya simba. 1
@
@peterbandah55605 years agoYan hizi highlights kila nikirudia kuangalia huwa nashangilia kwa mzuka kama naangalia live vile. Pole kwais simba brothers and sisters. 11
@
@paulokiruwa98793 years agoBaraka mpenja uliitendea kazi mechi hii kwa utangazaji wako big up. 2
@
@shenymohamed33136 years agoSimba hata wakitaka ubngwa afrika wanaweza! Ni kujitoa tu kwa moyo. 116
@
@amanioroma88063 years agoLeo tarehe 25 oktoba, 2021 tunacheza na galaxy imenifanya nirudi hapa kuangalia hii match. 3
@
@Ram_18933 years agoKuna mtu aliniambia kuwa kuna shabiki alimwambia Mkude Pigaaa Leo nimesikia vyema hiyo sauti MOJA# 3
@
@africangorillalast yearKaka unaangalia hii mwaka 2023 piga like wana simbaa hata haturingi.
@
@zamzamrashid95346 years agoMabilionea yetuuwanjawetu ili nass tuzidi kuwa timu bora imarahongera simba hongereni mashabiki wanachama nawafuwasi wasimba tuwepamoja kwakila namna big up simbaaa. 3
@
@omarmussa23252 years agoDah mechi hii naikumbuka sana ilikuwa baada mda mrefu simba ikatinga tena hatua ya makundi chama atakuwa katika mioyo ya simba daima. 1
@
@ammarhedeb24646 years agoNaitwa omary rashidi kutoka tanga chama utafungwa wewe magoli gani hayo like hopo bs. 77
@
@elizabethmkali57826 years agoBaraka mpenja unajuwa kutangaza mpira mungu akupe nguvu. 2
@
@hamisirashidi35186 years agoYaan huyo kes kabla yampila alkua aaiponda simba leo baada yakidundo anaikubali kwel nmeamin anayekucheka leo kesho atakuheshimu big up simba kuna aliye onewa. 15
@
@dgt63036 years agoHii simba nmeielewa. Lakin zaidi leo nmeona mashabiki kama ulaya. Sapoti ya mashabiki haikuwa ya kitoto. 15
@
@mariapialakanje34463 years agoDah safi simba mkude asante sana kwa goli zuri. 1
@
@taysonibrahimmnyambugu86406 years agoMamb ni fire je kunamutu anaumia km yup ajifanye km anajikuna. 32
@
@teklamahenge52126 years agoKwa mara ya kwanza kumuona mcheza mieleka patrick anashangilia. 150
@
@thomasshaila59904 years agoNikiwa na umwa na huzuni huangaliwa mumechi huu wakati nalia na kupona kabisa. Simba nguvu moja this iz simba. Dawa ya corona. 20/04/2020. 6
@
@annastaziaandrea9789last yearWakwanza mm kuendelea kutizama na kukumbuka ukubwa wa time yangu mungu ibariki simba mwaka 2023 tuwe na mwendelezo mwema, time yet ifike marina. 1
@
@kelvinbadili22233 years agoHii game ilikuwa bora sana na mpaka xaxa. 2
@
@wabumbuli25816 years agoKama unamkubal chama like muhmu tusonge kwenye makundi. 360
@
@amehassanrehanirehani50612 years agoAh ilikua raha simba raha hii mechi tam san haitoshi na imepat mtangazaj mechi inasisimua i love you simba sc.
@
@khadijahali48374 years agoJamani wale tunaoangalia 2020 kipindi hk cha corona tujuane 7
@
@ibrahimmfundo84556 years agoMashabiki haonkana wamekuwa kama machoko. 32
@
@OmanOman-hr6cb6 years agoSimba nakufa simba konk uwiii wanateseka uku mama weee. 5
@
@elizabethjohn45496 years agoSimba hii jaman ni shidaa hadi mtangazaji wa tbc kasahau kurudisha matangazo studio. 7
Related videos for SIMBA SC 3-1 NKANA FC; FULL HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (CAF CL - ):
kama na ww upo gonga like hapa. 56
twende sawa. 150
ety magool kama haya yanalusiwa kweri. 75
hongera kwa timu yetu nzm. 8
r. I. P christopher alex massawe. 143
Leo nimesikia vyema hiyo sauti
MOJA#
3