Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF, ulifanya ukarabati mkubwa wa Hoteli ya Mkoani Pemba, na kuifungua rasmi tarehe 5/8/2020 ambapo mgeni rasimi wa shughuli hiyo alikua ni Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein
Category
Show more
Comments - 3
Related videos for SHEREHE ZA UFUNGUZI WA HOTELI YA MKOANI PEMBA: